Umekwenda wapi wewe faraja,
Uko wapi wewe faraja,
Umesababisha watu wanajinyonga,
Umesababisha wengine wanywe sumu,
Wameenda kwa waganga hawajaipata faraja,
hata kwa wanasayansi faraja hawajaipata,
Wameenda kwa ndugu zao wala hakuna faraja ya kweli ooh mama,
Faraja-aah-aah
Watu wanakutafuta faraja,
Uko wapi faraja (faraja).
Nimesikia vilio kila kona,
Dunia imezizima kwa Corona,
Siyo Afrika, Amerika, wala Ulaya na Asia,
Vyombo vya habari vinatangaza kila siku (huu--huuu),
Watu wamekufa miili imezagaa,
Mara kule 1000, mara pale 500, kona nyingine 100, ni vilio vimetanda,
Wengine wamepoteza wake zao, wengine wamepoteza waume zao,
Wengine wamepoteza watoto na wazazi wao,
Hawana faraja wanakutafuta faraja,
Telele lile lelile,
Faraja faraja faraja-aaah,
Lakini lipo jibu ndani ya faraja, faraja ya kweli duniani, hiyo faraja ni Yesu, ukimpata wewe utakuwa na amani moyoni mwako
Mwanamke Hana alipochekwa na mke mwenzie alimuomba Mungu akapata faraja,
Yule Ibrahim baba wa mataifa mengi alimuomba Mungu alipata faraja,
Hata Yusuph alipokuwa gerezani alimuomba Mungu akapata faraja,
Hata wewe unayeteseka, magonjwa, mikosi, balaa, ooh njoo kwa Yesu,
Ukimuomba Yeye utapata faraja,
Ni Yesu
Ni Yesu
Ni Yesu
Faraja yetu
Ni Yesu
Ni Yesu
Ni Yesu
Faraja yangu
Anajua wakati wa kufariji,
Huuu-huuu
Anajua wakati wa kuinua,
Anajua wakati wa kufariji
Anajua wakati wa kuinua
Yesu, Huuu-huuu.
English Lyrics
Solace
Hey Solace
Solace
I'm looking for Solace
Where have you gone Solace?
Where are you Solace?
You've caused people to strangle themselves oh
You've caused others to drink poison
They have gone to doctors/witchdoctors they have not found Solace
{They} Even {went} to scientists Solace they have not found
They have gone to their close companions neither is there any real solace oh mama
Solace,
People are looking for you Solace
Where are you Solace? (Solace)
I have heard cries in every corner.
The world has come to a stop because of Corona.
Not just in Africa America nor Europe and Asia.
The news media announces every day, (ooo ooo oo)
"People have died, bodies are scattered."
Here 1000, over there 500, in another corner 100, the cries have spread out.
Some have lost their wives, others have lost their husbands.
Others have lost their children and parents,
They have no Solace, they are looking for you Solace
But there is an answer, within Solace, true Solace on earth. This Solace is Jesus. If you receive Him, you will have peace in your heart.
The woman Hannah when she was laughed at by her fellow wife, she prayed to God and she found Solace.
That one Abraham, the father of many nations, when he prayed to God, he found, Solace.
Even Joseph, when he was in prison, he prayed to God and he found, Solace.
Even you, you who are suffering, diseases, curses, calamity. Oh Come to Jesus
When you pray to Him you will find Solace.
It’s Jesus
It’s Jesus
It’s Jesus
Our solace
It’s Jesus
It’s Jesus
It’s Jesus
My solace
He knows when to comfort ooo ooo oo (vocables)
He knows when to raise up
He knows when to comfort
He knows when to raise up
Jesus ooo ooo oo (vocables)
credits
released December 1, 2020
Produced by King Land Studio, Bunda, Mara, Tanzania
This is me, Steven Chuchu, a gospel singer and songwriter for many years from Mara Region, Tanzania, East Africa. I write
and sing songs in various languages especially Swahili, and Kuria. You are welcome here to taste a bit of Tanzania Gospel and maybe discover something new to you. Karibuni sana!...more
An immersive collagework of wavy synths and hallucinatory vocals, with nods toward the frenetic rhythms of Afrobeat. Bandcamp New & Notable Jul 8, 2019
Somali songs of love, passion, devotion, and celebration saved from the throes of war by quick-thinking radio operators. Bandcamp Album of the Day Aug 22, 2017